
DonLee a.k.a Sukuma Boy (Young Rappers Captain).Ni Msanii wa Hiphop kutoka RapCity Mwanza japo kwa sasa Anaishi Dar Na Hii ndio ngoma yake ya kwanza kwenye Gem Ikiwa imefanywa na Monna Gangster wa Classic sound.wimbo unaitwa FROM MWANZA mixer ya rap na crank.............
0 maoni:
Post a Comment