MASHUJAA WA MAU MAU WAIPELEKA UINGEREZA MAHAKAMANI
Mahakama nchini Uingereza imeamua kuwa mashujaa wa Mau Mau walioishtaki serikali hiyo kwa mateso na dhulma wakati wa vita vya Mau Mau, wanaweza kuendelea na kesi ya kuitaka nchi hiyo kuwalipa fidia.
Jaji Richard McCombe, alisema kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuonyesha mateso yalitokea kwani serikali ya Uingereza wakati huo ilikuwa makini sana katika kuweka rekodi za yaliyotokea
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 maoni:
Post a Comment