Ile Bifu kati ya Rick Ross na Young Jeezy, imekwisha
kwasasa, bifu hiyo ilianza pale Young Jeezy alipofanya Freestyle ya kuidisi
B.M.F, iliyochini ya Rick Ross, mnamo mwaka 2010, ingawaje Jeezy alikanusha
kuwa ni dis lakini kwa R ROSS ilikuwa ni dis yakutosha kabisa.
Kwenye BET Hip-Hop Awards mwaka 2012 pia iliripotiwa
wawili hawa kuleteana vagi backstage na kwenye parking mpaka polisi wakaingilia
kati.
0 maoni:
Post a Comment