Msanii kutoka 254, Jaguar, amesaini mkataba mpya na
kampuni ya MTech, ambayo itakuwa ikisambaza kazi zake zote barani Afrika.
Kutokana na taarifa kutoka kwa Menejiment ya msanii
huyo, imesema kuwa Jaguar, alikuwa anataka kuitanua Fan Base yake barani
Afrika, hasa Afrika Magharibi na Kusini, kutokana na kuwa kampuni hiyo ni
kutoka nchi hizo basi ilikuwa ni wakati sahihi kwa Jaguar kusaini mkataba huo.
Mara baada ya kusaini mkataba huo sasa Jaguar
anatarajia kufanya Ngoma mpya na msanii wa Nigeria, Ice Prince.
0 maoni:
Post a Comment