MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

AZAM FC YACHAPWA NA MNYAMA SIMBA


Vijana wa Msimbazi Simba yaishushia Azam kipingo
cha mabao 3 kwa 2 katika mchezo uliochezwa katika
dimba la uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

mchezo ulikuwa wa kukata kwa shoka kwa timu zote mblili
na mwishowe wekundu wa msimbazi kujichakulia point 3 na
kuwaacha wana tamtam katika majonzi.
Pia vijana wa Jangwani nao wamejikuta wakiondoka na point
tatu katika mchezo uliochezwa kati ya yanga na Jkt holjoro na
kuhitimishwa kwa bao 1-o
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment