MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JESHI LA MISRI LATUMIA WAANDAMANAJI
wanajeshi wakiwa mitaani nchini misri pamoja na waandamanaji
Wanajeshi nchini Misri wameanza kuwaondoa watu kutoka katika eneo la ikulu ya rais mjini Cairo ambako kumekuwa na makabliano makali kati ya wafuasi na wapinzani wa rais Mohammed Morsi
Limetuma vifaru na magari mengine yaliyo hamiwa kwa silaha nje ya kasri la rais baada ya mapigano ya usiku kucha kati ya wafuasi na wapinzani wa rais Mohammed Morsi.
Walioshuhudia matukio wanasema kuwa waandamanaji wameanza kuondoka kutoka eneo hilo.
Makabiliano yamesababisha vifo vya watu watano na wengine zaidi ya mia sita wakijeruhiwa.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment