RAIS KAGAME APEWA ONYO
Rais Barrack Obama wa Marekani
ametoa wito kwa rais wa Rwanda Paul Kagame, kusitisha msaada anaotoa kwa
makundi ya waasi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
![]() |
| Raisi wa marekan Barrak Obama |
Waasi wa M-23 wapo katika eneo la mashariki mwa Congo licha ya kuwepo kwa wanajeshi wa kutunza amani wa umoja wa mataifa katika eneo hilo.
Ripoti ya hivi majuzi iliyochapishwa na Umoja wa Mataifa iliishutumu serikali ya Rwanda kwa kutoa msaada kwa waasi hao wa Congo, madai ambayo serikali ya Rwanda Imekanusha vikali.

0 maoni:
Post a Comment