MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

SPAIN vs BRAZIL: NANI ATAKUWA BINGWA

Siku ya Tar, 01/07/2013, Dunia itashuhudia mchezo mkali wa mpira kati ya Brazil na Spain, mchezo huo unawavutia watu wengi kuutaza ambao umeshehena vipaji kutokana na Historia za nchi hizo ni kuwa wote wanavipaji vya wachezaji wazuri wa mpira ambao wanachezea timu mbalimbali hapa Duniani.
Brazil ni timu ambayo imejichukulia ubingwa wa kombe la dunia kwa mara Tano, wakati vijana wa Spain nao wakiwa ni timu ilijichukulia vikombe vya Euro 2008, World Cup 2010, na Euro 2012, hapa wanakuwa wamechukua makombe matatu makubwa Duniani.
Mchezo wa Kesho usiku utakuwa na vuta nikuvute kutokana na Timu zote mbili kujiweka sawa na kuutamani ubingwa huo wa kombe la Mabara, katika kiwanja cha Maracana, kutokana na Ukubwa wanchi hizi katika Soka, watu wengi wamekuwa na maswali vichwani, nani ataibuka na Ubingwa?
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment