MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

BEN POL KUFUNGUKA LIVE.

 Msanii wa Bongo Fleva Nchin Tanzania Ben Pol, amefunguka na kusema kuwa yuko mbiyoni kufanya nyimbo na msanii kutoka nchin Kenya ambaye ni Anto,
pia alisema kuwa kitu kinachofanya ujio huo mpya kuchelewa ni kutokana na Anto, kuwa na mambo mengi ukiachiliambali kuwa ni msanii pia ni mtangazaji.
kutokana na mujibu wa Pol, amesema mpaka sasa kuna baadhi ya mistari ambayo wameshatumiana wasanii hao, hayo yamesemwa na msanii Pol wa nchini Tanzania.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment