MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JAY-Z KUSHUSHA ALBAM YAKE LEO.


Msanii wa Hip Hop Duniani-Jay -Z, ameudondosha mzigo mpya wa "Magna Carta Holy Grail" hii leo tare-jun 4, katika mzigo huo amempashavu msanii mwenzake nguli katika muziki nchini Marekani, Justin Timberlake, katika kiitikio cha Nyimbo hiyo.
nyimbi hii ni yakwanza kutoka katika albam yake mpya, ambayo imeshehena nyimbo kali tupu na kutumiwa gharama kubwa katika kuikamilisha albam hiyo ikiwa ni pamoja na kuipigia promo kubwa wiki mbili zilizopita kabla ya kuachiwa kwa mzigo huo.
albam hiyo kwanza imeachiwa kwa watumiaji wa simu za Samsung, na july 7, itauzwa kwa wote duniani, pia leo kumefanyika pati ya siri iliyouzuriwa na watu wa karibu tu akiwemo mke wa Jay z- Beyonce. na producer aliyeifanya albam hiyo- Timberland
Jay-Z


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment