MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAMA MZAZI WA PROF –JAY, AMEFARIKI DUNIA.


Mama mzazi wa msanii Prof Jay, amepoteza maisha leo mida ya saa 1, usiku kutokana na ajali ya Gari maeneo ya Mbezi Mwisho, anapoishi msanii huyo.
Ajali hiyo ilitokea mara baada ya mama huyo kuvuka barabara akielekea  dukani kujipatia vitu vya nyumbani, jitiada za kumuwaisha hospitali zilifanyika na kumfikisha katika hospitali ya Tumbi, lakini jithada hizo ziligonga mwamba na mama huyo kuiyaga Dunia katika Hospital ya Tumbi.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment