MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TAARIFA ZA KIM KARDASHIAN KUVUJISHWA MTANDAONI.

Mabosi wa Hospital ya Cedars Sinai Medical Center,  wamewafukuza kazi wafanyakazi 6, kutokana na tuhuma ya kutoa taarifa ya kujifungua kwa star Kim Kardashian hivi karibuni katika Hospitali hiyo.
Kim alikuwa ni miongoni mwa wagonjwa 14, ambao walivujishiwa taarifa zao za matibabu hospitali humo, kupitia wafanyakazi  hao.

Kim alitoka Hospitalini humo mara baada ya siri zake kutoka na kusambaa katika mitandao mingi ya kijamii, watu wa karibu na Kim wamesema kuwa kim ahakutaka taarifa zake zitoke, hivyo basi kutakuwa na uzembe ulijitokeza katika Hospitali  hiyo, waliendelea kusema kuwa kitendo hicho hakikuwa cha kiungwana.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment