MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MTANGAZAJI WA PASSION FM, AFARIKI DUNIA LEO


Matashtiti Fundikira

Mtangazaji wa Kituo cha Passion Fm, wa kipindi cha Ambaa na Mwambao, Nyawana “ Matashtiti Fundikira” amefariki dunia, inadaiwa kuwa Mtangazaji huyo amefariki dunia kufuatia ugonjwa wa Malaria.

Mtangazaji huyo alikuwa pia muimbaji wa Taarabu katika kundi la T-moto na kundi la Kings Modern Taarabu, pia alishawai kuwa mtangazaji wa Voice of Tabora.

Kwa mujibu wa mume wake mipango ya mazishi inaendelea huko nyumbani kwake mwananyamala, jijini DSM.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment