
msanii mwenye uraia ya nchini Canada, Justin Bieber,
amefunguka na kusema kuwa hatanii yuko kweli kabisa kuwa ameacha Muziki, mara
baada ya Albamu yake kutoka tu nay eye anatakuwa na mambo mengine lakini siyo
muziki. "My beloved beliebers I'm officially
retiring."

0 maoni:
Post a Comment