MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

CHRIS BROWN, KUACHIA MZIGO MPYA MAY 5, MWAKA HUU.



Audio: Chris Brown aitaja May 5 kuwa siku atakayoachia albam yake
Msanii wa muziki nchini Marekani, Chris Brown, amefunguka kupitia twitter, kuwa yuko mbioni kuachia Albam yake mpya siku  ya May 5, aliyoipa jina la “X” kwa mujibu wake hiyo itakuwa albam bora zaidi kati ya zile zilizopitaga.......


Na hiki ndicho alichokiandika msanii huyo ““‘X’ is by far my best album yet…setting the date for MAY 5.” Kupitia akaunt yake.

Albam hiyo ilipangwa kutoka July 2013, lakini kutokana na matatizo mengi ya kukutana na mkono wa sheria ilimlazimu kuiahirisha na kutaja mwisho wa mwaka huo kuwa angeitoa, ahadi ambayo alishindwa pia kuitimiza baada ya kupewa amri na mahakama kukaa Rehab siku 90.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment