MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAN U, WATANGAZA DAU KUBWA KWA BAYERN MUNICH



 Arsenal-v-FC-Bayern-Muenchen-UEFA-Champions-League-Round-of-16-3163990
Kikosi cha Man U, imetangaza ofa ya mshahara mnono kwa Toni Kroos, ambaye ni kiungo wa Kijerumani kama atakua tayari kuachana na Bayern Munich na kujiunga na Man U...........


Ofa hiyo ya mshahara wake mpya ni mara tatu ya mkwanja anaopokea kwasasa katika timu yake.

Bayern kupitia kocha wao Pep Guardiola tayari alishasema kwamba wanataka kubaki na mchezaji huyo lakini akaongeza lolote linaweza kutokea – Bayern wana utajiri mkubwa wa viungo kwenye timu yao hivyo kumuuza Kroos kunaweza kusipunguze ubora wao.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment