Chini ya sheria hiyo ni marufuku kwa wanawake kuvalia
mavazi mafupi, yenye kubana mwilini kiasi cha kuonekana mapaja na makalio na
sheti inayoonyesha matiti.

......................................................
Wanawake hao waliopanga kuandamana mjini Kampala walibeba mabano kupinga sheria mpya baadhi wakuvalia mavazi mafupi. Baadaye walikubaliwa kukusanyika katika uwanja nje ya ukumbi wa kitaifa.
Wanawake hao waliopanga kuandamana mjini Kampala walibeba mabano kupinga sheria mpya baadhi wakuvalia mavazi mafupi. Baadaye walikubaliwa kukusanyika katika uwanja nje ya ukumbi wa kitaifa.
Kutoka BBC
0 maoni:
Post a Comment