MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

RIHANNA KUPEWA TUZO NA KAMPUNI YA MITINDO....



 Rihana kupewa tuzo maalum na wabunifu wa mavazi wa Marekani kwa uchaguzi wake wa mavazi
Msanii kutoka Marekani, Rihanna, anatarajiwa kukabidhiwa Tuzo na kampuni kubwa ya mitindo nchini Humo kutokana na jinsi anavyotupia mavazi yake kila kukicha..........


“Council of Fashion Designers of America, Inc imetangaza kumpa Rihanna tuzo hiyo kwa madai kuwa ameleta impact kubwa kwenye kiwanda cha mitindo ya mavazi na kuwa kama balozi wa utamaduni wa Pop.”
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment