Wasanii wa kundi la Bracket, wamekanusha
uvumi wa kuwa wao ni mashoga kutoka na taarifa zilizosambaa nchini
Naija,kupitia baadhi ya mitandao..............
Kufuatia
Taarifa za Mtandao wa Naija.com, walifunguka na kusema kuwa hapo mwanzo
walisikia taarifa hizo na kuzikaushia kwasababu ni za uongo, walidai kuwa
hawakupenda kuzungumzia swali hilo hadharani, lakini kwa sasa inabidi tufunguke
juu ya taarifa hizo za uzushi pia zinachekesha sana.
0 maoni:
Post a Comment