MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Barcelona yaichapa Sevilla kwa mabao 2-0


Messi na SuarezImage copyrightREUTERS
Image captionMessi na Suarez wakishangilia goli
Miamba ya soka ya Hispania Barcelona wametwaa ubingwa wa Super Cup kwa kuifunga klabu ya Sevilla kwa mabao 2-0.
Mabao ya Barcelona yalifungwa na mshambuliaji Luis Suarez na Munir El Haddadi magoli yote yakifungwa katika kipindi cha pili cha mchezo.
Licha ya Barca kushinda mchezo huo uliochezwa katika dimba la Sanchez Pizjuan kocha wa kikosi Luis Enrique, alilazimika kufanya mabadiliko kwa beki wake Jeremy Mathieu na kiungo mkongwe Andres Iniesta waliopata majeruhi katika mchezo huo.
Kukosekana kwa mashambuliaji Neymer anayeitumikia timu ya taifa ya Brazil katika michezo ya Olimpic kuliwafanya Barcelona kumtumia Arda Turan kama mshambuliaji wa tatu nyuma ya Messi na Suarez.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment