MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Bournemouth kuikabili Manchester United

Mourinho na Wayne Rooney
Image copyrightBEN HOSKINS
Image captionMourinho na Wayne Rooney
Mchezaji aliyesajiliwa kwa kiasi kikubwa duniani Paul Pogba hatoanza katika mechi dhidi ya Bournemouth.
Hii ni kwa sababu anahudumia marufuku ya mechi moja baada ya kupewa kadi mbili za manjano akiichezea Juventus nchini Italy.
Chris Smalling pia hatoshiriki mechi hiyo lakini wachezaji wapya Zlatan Ibrahimovic,Henrikh Mkhitaryan na Eric Bailly watashiriki.
Winga wa klabu ya Bournemouth Junior Stanislas yuko nje na jeraha la ngiri lakini Jordon Ibe aliyesajiliwa kutoka Liverpool kwa kitita cha pauni milioni 15 ni miongoni ya watakaoshiriki mechi hiyo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment