MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Cristiano Ronaldo ashinda tuzo ya mwanasoka bora Ulaya

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora Ulaya.
3794A4FB00000578-3758562-image-a-9_1472143267089
3794A4FB00000578-3758562-image-a-9_1472143267089
3795021500000578-3758562-image-a-16_1472147165310
Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora wa Ulaya baada ya kuwashinda wachezaji wengine wawili ambao wote wanatokea katika timu za jiji la Madrid nchini Hispania tuzo hizo zilitolewa Nchini France katika mji wa Monaco.
3795021500000578-3758562-image-a-16_1472147165310
3795011900000578-3758562-image-a-31_1472147265986
Katika Kura zilizopigwa na waandishi 55 wanachama wa UEFA katika Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya 2015/2016 matokeo yamekuwa hivi
Cristiano Ronaldo – 40
Antoine Griezmann – 8
Gareth Bale – 7
CquGSTEWIAACxnY
Mshambuliaji wa Olympique Lyon na timu ya Norway Ada Hegerber ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya kwa upande wa Wanawake 2015/2016
CquGSTEWIAACxnY
Ada Hegerberg
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment