MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Fidel Castro atimiza miaka 90 Cuba, amkosoa Obama


Mshirikishe mwenzako
Fidel Castro akihutubu mkutano mkuu wa chama tawala cha Kikomunisti mjini Havana, Aprili 19, 2016.Image copyrightAFP
Image captionFidel Castro mwezi Aprili alisema hakuwahi kutarajia angetimiza umri wa miaka 90
Aliyekuwa kiongozi kwa muda mrefu nchini Cuban Fidel Castro amewashukuru wafuasi wake kwa kumtakia heri akitimiza umri wa miaka 90.
Kwenye barua iliyochapishwa kwenye gazeti la chama tawala cha kikomunisti nchini humo, amesimulia kumbukumbu za maisha yake ya ujana.
Baadaye, amezisifu Uchina na Urusi lakini akamshutumu Rais wa Marekani Barack Obama.
Fidel Castro alitawala Cuba kwa zaidi ya miaka hamsini kabla ya kumkabidhi nduguye Raul madaraka.
Raul Castro ameleza mengi ya masharti ya kiuchumi yaliyokuwa yamewekwa chini ya utawala wa Fidel na pia akafufua uhusiano na Marekani.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment