MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Mchezaji wa zamani wa Aston Villa, Dalian Atkinson auawa na polisi

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Aston Villa, Dalian Atkinson ameuawa baada ya polisi kumshambulia na bunduki ya shoti ya umeme, Taser.
37119DC700000578-3741176-image-a-43_1471256467459
Kwa mujibu wa Mail Online, maafisa waliitwa kutoka kituo cha polisi cha West Mercia kwenye nyumba ya Telford, Uingereza usiku kwa wito wa kuangalia usalama wa mtu.
Walipofika, Taser ilitumika kwa Atkinson. Mchezaji huyo alipewa matibabu lakini alitangaza kufariki baadaye.
373FC77C00000578-3741176-image-a-42_1471256190367
Polisi wa West Mercia wamesema hawawezi kusema chochote kutokana na suala hilo kupelekewa kwenye tume huru ya malalamiko ya polisi.
8614343
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment