MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Mzee Yusuf atangaza kuachana na muziki

Mfalme wa Taarab nchini, Mzee Yusuf, ametangaza kuachana na muziki.
13561882_262179434155380_1891112826_n
Ametangaza azma hiyo Ijumaa hii kwenye msikiti wa Taqwah jijini Dar es Salaam. Amedai kuwa kuanzia sasa atakuwa akimtumikia Mungu zaidi.
13597552_936659759773942_1110215059_n
Amesema ataongea na waandishi wa habari hivi karibuni kuhusiana na uamuzi wake na hatma ya kundi lake la Jahazi Modern Taarab.
Wimbo wa mwisho alioutoa Mzee Yusuf ulikuwa Hewallah aliomshirikisha Vanessa Mdee.

chanzo Bongo5
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment