MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Watu 30 wauawa kinyama mashariki mwa DRC

Waasi wa ADFImage copyrightREUTERS
Image captionWaasi wa ADF
Ripoti kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC zinasema kuwa wanajeshi wamepata miili ya takriban raia 30 waliouawa katika shambulizi mashariki mwa taifa hilo.
Msemaji wa jeshi Mark Azuray ameambia shirika la habari la AFP kuwa mauaji hayo yalitokea katika mji wa Beni nyakati za usiku.
Wanajeshi wanashuku kuwa kundi la wanamgambo la ADF lilitekeleza mauaji hayo.
ADF ni kundi la kujihami lililo na asili yake nchini Uganda, na linaendeleza shughuli zake karibu na mpaka.

kutoka bbcswahili
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment