
Bondia mstaafu Floyd Mayweather amesema kuwa pigano kati yake na mpiganaji Conor Mc Gregor halitofanyika.
''Nilijaribu kuona pigano hilo linafanyika,lakini hatukuweza kwa hivyo tunasonga mbele''.Mayweather aliambia FightHype.com.
''Nafurahia kuwa na heshima kubwa katika masumbwi na wala sipigani tena''.
McGregor awali alikuwa amesema kuwa alivutiwa na pigano hilo ,lakini ilitarajiwa kuwa Mayweather angetafuta kiasi cha fedha anazotaka ili pigano hilo lifanyike.
0 maoni:
Post a Comment