MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Mayweather avunja pigano na nyota wa UFC

 Conor Mc Gregor na Mayweather
Bondia mstaafu Floyd Mayweather amesema kuwa pigano kati yake na mpiganaji Conor Mc Gregor halitofanyika.

Bingwa huyo wa zamani wa mizani mitano tofauti ,mwenye umri wa miaka 39 alisema mapema mwaka huu kwamba angependa kupigana na nyota huyo wa Ireland.

''Nilijaribu kuona pigano hilo linafanyika,lakini hatukuweza kwa hivyo tunasonga mbele''.Mayweather aliambia FightHype.com.

''Nafurahia kuwa na heshima kubwa katika masumbwi na wala sipigani tena''.

McGregor awali alikuwa amesema kuwa alivutiwa na pigano hilo ,lakini ilitarajiwa kuwa Mayweather angetafuta kiasi cha fedha anazotaka ili pigano hilo lifanyike.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment