MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Leicester kukaa rufaa kadi nyekundu ya Vardy

VardyImage copyrightGOOGLE
Image captionMshambuliaji wa Leicester City Jamie Vardy
Mabingwa watetezi wa ligi kuu England Leicester City wanapanga kukata rufaa kupinga kadi nyekundu aliyopewa mshambuliaji wake Jamie Vardy katika mchezo dhidi ya Stoke City.
Vardy alionyeshwa kadi nyekundu na mwamuzi Craig Pawson, baada ya kumchezea rafu mshambuliaji wa Stoke Mame Diouf.
Leicester inataka kupeleka utetezi kwa chama cha soka England kuonyesha Vardy alisukumwa na hakuwa na nia ya kumfanyia rafu Mame Diof
FA inatarajiwa kuitoza faini Leicester baada ya wachezaji wake sita kuonyeshwa kadi za njano katika mchezo huo
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment