MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Anna Mghwira ateuliwa kuwa mkuu wa mkoa Kilimanjaro

Mghwira ndiye mwanamke pekee aliwania urais Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemteua Bibi Anna Elisha Mghwira kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Bibi Anna Mghwira anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bwana Saidi Meck Sadiki aliyekuwa mkuu wa mkoa huo.

Bi Mghwira alikuwa mgombea pekee wa kike wakati wa kinyang'anyiro cha urais mwaka 2015.
Amekuwa mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, chama kichanga zaidi Tanzania kilichoundwa 2014.

Mghwira, 56, anatoka mkoa wa Singida. Babake alikuwa diwani na kiongozi chama cha Tanu na baadaye CCM.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment