MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WASANII WA K-SHAKA KUUZA KARANGA

.
Kalamashaka au K, Shaka ni kundi la Hip Hop, kutoka nchini Kenya liloanzishwa na wasanii watatu,
Kundi hilo lilifanikiwa kufanya kazi na wasani mbalimbali wa ndani na nje ya nchi yao pia wasanii hao walitembea nchi nyingi za Afrika na Ulaya katika Show, nchi hizo ni pamoja na Norway, Sweeden, na Afrika kusini.

Kundi hilo kwa sasa halina mambo mapya bali ni kwamba mmoja kati ya msanii wa kundi hilo anauza karanga katika maeneo ya Umoja Estate, Nairobi ili maisha yapate kwenda.

Msanii huyo wa kundi la K-shaka, alionekana akitembeza karanga katika maeneo ya Nairobi nchini Kenya, Pia msanii huyo inasemekana kuwa anatumia madawa ya Kulevya.

Kundi hilo liliwashawishi wasanii wachanga kuingia katika fani ya muziki nchini humo.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment