MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JAYZ NA BEYONCE NDIO WANAOINGIZA MKWANJA ZAIDI KAMA MUME NA MKE. NA WASANII WENGINE WANNE, JE UNAWAJUA ?

Msanii nyota nchini Marekani JayZ na mke wake Beyonce, wamepngoza katika wasanii wanaojipatia mkwanja zaidi kuliko wasanii wengine walio katika mausiano ya kimapenzi au wanandoa.
Takwimu ya Forbes ya nchini humo inaonesha kuwa wapenzi wa kwanza kwa kuingiza mkwanja wa kutosha ni Jay Z na mkewe Beyonce, wakifuatiwa na Tom Brady na mkewe Gisele Bundchen, hawa wawili wamejipatia mkwanja wad olla milioni 80, namba tatu imeshikwa  na modol mkubwa sana anayelipwa pesa nyingi kuliko wote ni Bundchen, sambamba na namba nne imeshikwa na Asshton Kutcher  na Mila Kunis, namba tano imeshikwa na Kanye West na Kim Kardashian.
Hawa ni baadhi tu ya wasanii wanaoshika chati katika kusaka mkwanja wakiwa kama mke na mume, hii inatakiwa kuigwa na wasanii wetu wa Tanzania kuwa na vitu vya kujivunia katika maisha yao, kwa sasa mfano mzuri kwa Taifa letu ni msanii Diamond Platnumz kufanya vizuri kwa kipindi hichi na wengine kama kina AY, Ommy Dimpoz nk.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment