Mtoto
wa miaka miwili wa Huaxi nchini China, amefanyiwa upasuaji wa kujifungua baada
ya madaktari kugundua kuwa alikuwa na mimba, mtoto huyo alipelekwa Hospitali
baada ya tumbo lake kuwa kubwa kiasi ambacho alijikuta akishindwa kupumua.
Alipolazwa , madaktari walichukua picha za X rays na
MRI , na kugundua kuwa feng , alikuwa amebeba mimba isiyokuwa na ****, na
kuamua kumfanyia upasuaji.
Madaktari waliondoa mimba hiyo change ambayo ilikuwa
na ukubwa wa cm 20, na ilishaanza kuwa na vidole , inasemekana mimba hiyo
ilitaka kuwa ya watoto mapacha.
0 maoni:
Post a Comment