MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

P SQUAR NDANI YA BONGO NOVEMBA 24

Kundi la muziki kutoka nchini Nigeria , P Square, wanatarajiwa kufunika katika jiji la Dar es salaam mwezi wa 11, 24, 2013. Wasanii hao wataletwa na kituo cha Televisheni cha EATV.
Kituo hicho kiliandika kuwa “ Tanzania kwa mara nyingine tena tunawaletea kwenu P Square, ……Together Tunawakilisha”  hayo yalikuwa ni maneno ya Tv hiyo kupitia Tweeter, wakati huo huo kupitia account yao ya Facebook waliandika tena kuwa “ TUTAELEWANA TU MWAKA HUU AU SIYO !!! EHHH!!!
Sikia hii sasa !!! Tanzania kwa mara nyingine tena tunawaletea kwenu P SQUARE , Jipange kucheza na PERSONALLY, ALINGO, CHOP MY MONEY Na nyengine kibaooooo !!
NOVEMBA patakuwa HAPATOSHII !! JIPANGEEEEE !!!!!!!!!!.
Hayo ni maneno yao lakini kunani hapo maana pale EATV na kule………..? siku hiyo hiyo haya sasa.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment