Waganga wawili wa jadi akiwemo mfanyabiashara
mmoja wamenaswa jijini Mwanza wakiwa na kiungo cha mkono wa kulia unaoamainika
kuwa wa binaadamu ambapo walikamatwa kwenye eneo la ziwani
na Uwanja wa Ndege wa Mwanza, kufatia taarifa za raia wema na kisha jeshi la
polisi kuweka mtego kwa muda wa wiki
nzima na kufanikiwa kuwakamata.
|
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment