MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

VIDEO MPYA YA RIHANNA, YASUSIWA NA WAPENZI WA NYIMBO ZAKE

Mwanamuziki wa kike anayejulikana kwa jina la Rihanna amejikuta akiingia katika tifu jipya mara baada ya kuachia video ya wimbo wake wa Pour it Up, wadau na wapenzi wake wamefunguka na kusema kuwa wimbo huo umejaa matusi mno.

Wadau wengi Duniani kote wameupiga vita wimbo huo pia wanaharakati wameutaka mtandao wa YouTube kuuzuiya wimbo huo kwasababu unapotosha jamii, wakati wazazi wamewataka watoto zao kuto utazama wimbo huo.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment