MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

OSTAZ JUMA, NAKUJA NA MR BLUE PAMOJA NA NIKKI MBISHI


Ostaz Juma na Mr Blue

 Ostaz Jima, anakuja na Goma mpya unayokwenda kwa jina la “Najiyuma” ambao amewapa mashavu wasanii wakubwa wawili, MR BLUE na NIKKI MBISHI.

Ostazi , amefunguka na kusema kuwa anataka kuwaonesha watanzania kuwa anaweza kufanya Muziki na kusimamia vijana wake akiwa kama meneja.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment