MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

KALLAGE “ BIFU LA NISHA NA ADAMU JUMA, KUNA MMOJA HANA ADABU.



389075_360927544012076_2113511584_n
next-level
Kutoka na Bifu iliyopo kati ya Adam Juma na Nisha, kutupiana maneno kupitia mitandao ya kijamii, mtandao wa Millardayo, ulifanya Interview na Director mwengine mkongwe tu katika game na kusema kuwa……

‘Aaah well hizo mi mi nimefatilia kwa sehemu moja au nyingine lakini kiukweli sijui yani nisemaje lakini  mi naona kwanza hayo mambo hayanihusu kwa sababu hayo mambo ni parsonal ni mtu mmoja na mtu mwingine ndo wamegombana hayanihusu,lakini kwa ufatiliaji nilivyoona naona kwenye hilo tatizo kuna mmoja hana adabu’.

‘Ukweli kama mioyoni mwao wako real kwamba wanabishana wana fanya malumbano hayo kwa kupeana challenge za kikazi hilo sidhani hata kama wewe utakataa kwamba halitoendeleza game lakini kama wanafanya mambo ya mitaani ya hivi na hivi kama mioyoni mwao wana bifu tofauti hiyo haiwezi saidia chochote’

‘Mashabiki wajaribu kuangalia tu kazi nyingi tunazozifanya kwa sababu kazi ni nyingi na mimi mwenyewe naendelea kufanya japo nguvu kubwa nimeiweka kwenye filamu kwa sababu huko ndipo nilipokuwa nimeanzia’
 adam-instagram
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment