Msanii wa muziki nchini TZ, PNC, ametolewa kwenye kundi la Watanashati Entertainment,
kwa kile kilichoitwa utovu wa nidham.
Mtandao wa Times fm, ulinukuu kauli yake “ Ostz
alisema kuwa hatua hiyo imetokana na utovu wa nidhamu ulioneshwa na msanii huyo
kwa kutofuata sheria za Watanashati, ikiwa ni pamoja na kufanya Show bila
uwongozi kuja” hayo yalikuwa maneno ya Ostaz,
Lakini Mtandao wetu wa Mweraamazing, ulipata kukutana
na PNC , Kabla ya mtandao wa Timesfm kutoa hii Taarifa, msanii huyo alikuwa
akidai kuwa Ostaz Juma anazingua, anawabana sana wasanii na kutowasimamia
vizuri, ata wakitoa nyimbo mpya Promo imekuwa ndogo na kufanya nyimbo nzuri
kusikika kwa muda mfupi, hayo yalikuwa ni maneno ya PNC katika story za kawaida
tu. Nazai utapima pande zote mbili na kujua wapi kupo sawa na wapi hakupo sawa.
0 maoni:
Post a Comment