MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

VICTORIA KIMANI, AMEMKANA DIAMOND PLATNUMZ.......



 Victoria Kimani: Sina uhusiano wa kimapenzi na Diamond, sina hata namba yake
Msanii toka nchini Kenya, Victoria Kimani, amefunguka na kusema kuwa hana mausiano yoyote ya kimapenzi na msanii wa +255, Diamond Platnumz, kufuatia tetesi zilizozagaa katika nchi hizi mbili kutokana na zile picha walizokuwa wamepiga wakiwa nchini Afrika Kusini.........


 “Sifahamu hizi tetesi zimetokea wapi. Nilikutana na Diamond mara moja, na ilikuwa wakati tunarekodi wimbo wa ONE Campaign Afrika Kusini wiki mbili zilizopita.” .

Aliendelea kwa kusema kuwa “Hata sina namba yake, kwa hiyo sijawasiliana nae tangu tulivyokutana Afrika Kusini.”

Lakini inasemekana kuwa Diamond alikanusha tokea tetesi hizo zilivyoanza kushika chati katika masikio ya watu, alisema kuwa hawana mausiano ya kimapenzi bali ni washikaji tu.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment