Msanii wa nguli wa Hip Hop Bongo,Dudubaya anatafutwa
na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa kosa la kumkata sikio mama yake mkubwa
akidai kuwa mama yake huyo anamroga(kumfanyia mambo ya kishirikina)............
Kwa mujibu wa mdogo wake aitwaye Muweta alisema kuwa
siku ya tukio msanii huyo alimfuata mama yake huyo nyumbani kwake na kumlaza
kwenye makochi na kuanza kumkata sikio kwa kisu huku akimwambia kwanini
anamroga baada ya kufanya tukio hilo
alitokomea kusikojulikana.
kutoka Cloudsfm,
0 maoni:
Post a Comment