Meneja wa Kikosi cha Timu Ya Chelsea, Mourinho,
ametangaza kuwa anatarajia kuwauza wachezaji ambao anaisi kuwa watakuwa mzigo
katika kikosi hicho, na kuwapa nafasi wachezaji wengine wakati wa summer time..............
Kikosi hicho kinamtaka kumpa mkataba Diego Costa,
anayekiputa huko Atletico, pia Eto’o ni mshambuliaji anayeonesha dalili za
kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa ,msimu huu na kampa nafasi Torres kurudi
kwenye klabu yake.
0 maoni:
Post a Comment