MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

UCHAGUZI INDIA WAINGIA KATIKA HATUA MUHIMU


 
Leo ni siku muhimu zaidi katika uchaguzi mkuu nchini India-taifa ambalo ni demokrasia kubwa zaidi duniani. Uchaguzi wa ubunge unafanyika hivi leo katika majimbo mhimu, ikiwemo mji mkuu New Delhi...........


Watu milioni mia nane na kumi na nne wana kibali cha kushiriki katika uchaguzi huo ambao unafanyika kwa kipindi cha wiki tano kutokana na sababu za kiusalama na miundo mbini.

Hadi kufikia sasa maeneo muhimu yaliyolengwa na vyama kinzani vya Congress na BJP yamekamilisha shughuli hizo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment