Polisi
wa Kituo cha Bunju na Wazo, wanapiga Risasi juu ilikuwatawanyisha watu walio
vamia kituo cha polisi Bunju “A” Ili wamuue dereva aliyekamatwa gari aina ya
HILUX, iliyojaa viungo vya Binadamu...........
Baadhi
ya viungo hivyo vikiwa vimekaushwa wakati vichwa vikiwa vinavuja damu, kwa
taarifa ni kwamba Dereva huyo alifanikiwa kumwaga kwa mara ya kwanza karibu na
eneo la shule ya Consolata ambayo iko chini ya Masista.
Mara
baada ya tripu ya kwanza akarudi kwa safari ya pili ili kuvitupa tena viungo
hivyo, ndipo alipokutana na wananchi, wakawaita polisi na kukamatwa…..
Tutaendelea
kukujuza zaidi.
0 maoni:
Post a Comment