MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

RAIS WA ZAMBIA AMEFARIKI DUNIA" R.I.P - MICHAEL SATA

Rais wa Zambia, Michael Sata, amefariki Dunia.huko nchini Uingereza alipokwenda kwenye matibabu.................


Rais huyo mwenye umri wa miaka 77, amefariki kwenye Hospital ya King Edward VII.

Kwa sasa nafasi ya Rais huyo imeshikwa na waziri wan chi hiyo kwa muda bwana Edger Lungu, ambaye kwa hivi karibu alikuwa kaimu rais ama makamu wa rais. 
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment