Taarifa
zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki
wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani
kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam.............
Dennis
ambae alikua mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha pia kuhusu kifo cha
Geez Mabovu na kusema rapper huyu aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali
ambayo sio nzuri kiafya.
Kwa
mujibu wa Denis, Geez atazikwa kesho jioni November 13 2014. #RIP
Chanzo
Millardayo
0 maoni:
Post a Comment