MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JENGO LA MACHINGA COMLPEX, ILALA, LIMETEKETEA KWA MOTO LEO MIDA YA SAA 8 MCHANA. PICHA ZOTE ZIKO HAPA.


Jengo la Machinga Complex, limepata majanga ya moja mida ya saa 8 mchana, maeneo ya ilala jijini Dar es salaam, kwa taarifa za hawali hakuna mtu ata mmoja aliyepoteza maisha................................



Lakini muda mfupi  watu na viongozi wa jingo hilo walifanikiwa kuuzima moto huo, ambao chanzo chake hakikufahamika kwa mara moja kutoka na kila mtu alikuwa katika mishe mishe za uzimaji wa moto huo.




Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment