Tume ya Uchaguzi wa taifa la
Tanzania, kukabiliwa na na msisitizo wa muda mrefu wa wananchi juu ya
kuahirishwa kwa tarehe ya kufanyika kura ya maoni kuhusu katiba inayopendekzwa
na tume hiyo kutoa msimamo kwamba tarehe haitobadilika,............
leo hii tume hiyo imetoa
kauli tofauti. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi , Jaji Mstaafu Damian Lubuva
ametangaza kuwa zoezi hilo la kura ya maoni limeahirishwa, jambo ambalo limezua
hisia tofauti nchini humo.
chanzo cha Habari ni BBC Swahili.
0 maoni:
Post a Comment