Rais
Barrack Obama amesema swala la kisaikolojia miongoni mwa vijana ili kubadilisha
maumbile yao linafaa kukoma mara moja...............
Wengi
wa wanaotaka kufanyia mabadiliko ya maumbile yao ni watu wa mapenzi ya jinsia
moja hasa vijana.
Mshauri
mkuu katika Ikulu ya Marekani Valerie Jarrett amesema kuwa utawala wa Bwana
Obama umekubali kwa kauli moja kuwa ushahidi wa kisayansi kuhusiana na maamuzi
ya kujibadilisha maumbile, ni swala ambalo haliwezi kukubalika kitaaluma na
kimatibabu.
Taarifa
hiyo ya Obama inajiri baada ya kifo cha kijana mmoja ambaye alikuwa amebadili
jinsia yake na ambaye alijitia kitanzi mwezi wa Disemba baada ya kulazimishwa
kuhudhuria mabadiliko hayo ya kimaumbile
chanzo BBC.
0 maoni:
Post a Comment