MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MIMBA YA WEMA YAYEYUKA" IDRIS SULUTAN AMEYASEMA HAYA......PERUZI UJUZIKE NASI LEO

Idris Sulutan, mshindi wa Big Brother Africa, usiku wa kuamkia leo amepost ujumbe wa uzuni baada ya aliyekuwa mpenzi wake Wema Sepetu, inadaiwa kuwa alikuwa mjamzito lakini mimba yake iliweza kutoka kabla ya siku.

Idris alipost picha ya watoto mapacha na kuandika ujumbe huu “Ni haraka sana mmeingia katika mfumo wa maisha yetu, lakini ni haraka pia mmetuacha, sikuwahi kupata nafasi ya kukutana na nyinyi, nina vingi nataka niseme ninavyofikiria ndani ya kichwa changu vinatosha kunifanya mwendawazimu, ukizingatia mmeishi kwa wiki sita pekee, tuliwapenda sana na natamani ningepata nafasi ya kuwashika, mungu ametoa na mungu ametwa kama ambavyo amepanga na hatuwezi kulalamika huenda ametuandalia mengine mazuri zaidi”
1
2
3
4


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment