Msanii wa Rapp nchini
Chid Benz, amekubali kuacha matumizi ya Madawa ya kulevya mara baada ya
kukutana na Meneja wa Diamond Platnumz na kumtaka amsaidie ili aweze kuacha
matumizi mabaya ya madawa ya kulevya.
Msanii huyo ambaye kwa
sasa amefikishwa kwenye kituo cha Tiba huko Bagamoyo “life and Hope Rehabilitation
Organization.
Ata hivyo msanii huyo
amewataka wadau na masela wake wamtembele na kumtia moyo pia wasisahau na
kumpelekea Mapochopocho ili aje shavu kama kawaida.
0 maoni:
Post a Comment